KOCHA Mkuu wa timu            ya Taifa, 'Taifa Stars', Charles Boniface Mkwasa amesema ana            kazi kubwa ya kuangalia vipaji kwenye michuano ya LIgi Kuu ili            kuunda kikosi cha Taifa.
        Mkwasa alisema hayo            hivi karibuni, kwenye uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam,            ambapo alieleza kuwa lengo la kufanya hivyo ni kujenga timu            imara.
        Alisema atatumia            mashindano hayo kusaka vipaji, ili kuongeza nguvu katika timu            yake ambayo hivi karibuni ilitoka suluhu na timu ya taifa ya            Nigeria katika mchezo wa kusaka nafasi ya kufuzu ushiriki            fainali za Mataifa ya Afrika.
        "Najaribu kuangalia            Ligi Kuu pamoja na ile ya daraja la kwanza kuboresha timu huku            pia nikiwafatilia wachezaji wa Kitanzania wanaocheza nje ya            nchi," alisema Mkwasa.
        u ya Taifa, 'Taifa            Stars', Charles Boniface Mkwasa amesema, ana kazi kubwa ya            kuangalia vipaji kwenye michuano ya LIgi Kuu ili kuunda kikosi            cha Taifa.
        Mkwasa alisema hayo            hivi karibuni, kwenye uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam,            ambapo alieleza kuwa lengo la kufanya hivyo ni kujenga timu            imara.
        Alisema atatumia            mashindano hayo kusaka vipaji, ili kuongeza nguvu katika timu            yake ambayo hivi karibuni ilitoka suluhu na timu ya taifa ya            Nigeria katika mchezo wa kusaka nafasi ya kufuzu ushiriki            fainali za Mataifa ya Afrika.
        "Najaribu kuangalia Ligi Kuu pamoja            na ile ya daraja la kwanza kuboresha timu huku pia            nikiwafatilia wachezaji wa Kitanzania wanaocheza nje ya nchi,"            alisema Mkwasa.
        
Comments
Post a Comment