MEMPHIS DEPAY AENDA KIJIRUSHA NIGHT CLUB NA MENO YA DHAHABU



MEMPHIS DEPAY AENDA KIJIRUSHA NIGHT CLUB NA MENO YA DHAHABU
Mshambuliaji wa Manchester United Memphis Depay amedhihirisha kuwa yeye ni 'bishororo' wa kutupwa pale alipokwenda kujirusha klabu huku akiwa amepiga pamba za kufa mtu sambamba na meno ya bandia ya dhahabu.

Hiyo ilikuwa ni Jumamosi usiku masaa kadhaa baada ya Manchester United kuitungua Sunderland 3-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu katika uwanja wa Old Trafford.

Memphis Depay ambaye alitupia wavuni bao moja, akaenda kujirusha Suburbia nightclub kiwanja ambacho alikuwepo pia demu wa zamani wa Chris Brown Karrueche Tran

Memphis Depay was wearing                  some pretend gold teeth as he visited the Suburbia night                  club on Saturday
Memphis Depay akiwa amevaa meno ya bandia ya dhahabu ndani ya Suburbia night club Jumamosi usiku
Depay was missing the gold                  teeth when he was celebrating scoring against Sunderland                  earlier on Saturday
Depay akishangilia goli lake alilofunga Jumamosi
Depay was also wearing a                  leather jacket with white markings across it and a black                  shirt with skulls on it
Depay akiwa mbele ya Karrueche Tran (kulia) demu wa zamani wa Chris Brown
Karrueche Tran (right) was                  also pictured attending the same nightclub as Manchester                  United's Depay 
Karrueche Tran (kulia) kipenzi cha zamani cha Chris Brown nae alikuwepo kiwanja alichojirusha Depay 




Comments