MANCHESTER UNITED YAPAA KWENDA KUIVAA PSV BILA WAYNE ROONEY


MANCHESTER UNITED YAPAA KWENDA KUIVAA PSV BILA WAYNE ROONEY
Manchester United imesafiri kwenda Uholanzi kuivaa PSV Eindhoven katika Ligi ya Mabingwa barani Ulaya bila nahodha wake Wayne Rooney ambaye ni majeruhi.

Rooney ambaye pia aliikosa mechi dhidi ya Liverpool Jumamosi iliyopita, ana maumivu ya msuli wa paja na anatarajiwa kurejea uwanjani Jumapili katika mchezo wa Premier League dhidi ya Southamton.

Mshambuliaji chipukizi James Wilson na kiungo mshambuliaji Andreas Pereira, wamejumuishwa kwenye safari ya Holland kuikabili PSV Jumanne hii
L-R: Chris Smalling, Antonio                  Valencia, Luke Shaw and Marouanne Fellaini travel                  to Eindhoven 
Kutoka kushoto: Chris Smalling, Antonio Valencia, Luke Shaw na  Marouanne Fellaini wakiwa tayari kwa safari ya Eindhoven 
Paddy McNair (left) and                  Ashley Young make their way through Manchester airport                  ahead of their away day 
Paddy McNair (kushoto) na Ashley Young wakiongoza msafara
Marcos Rojo and Juan Mata                  (right) travel with the Manchester United squad for the                  Champions League tie
Marcos Rojo na Juan Mata (kulia) 
Wayne Rooney has been left                  out of the Manchester United squad to face PSV Eindhoven                  on TuesdayWayne Rooney ameachwa
James Wilson, linked                      with a loan move away, has been drafted in for the                      Champions League fixture
James Wilson ndani ya kikosi kilichosafiri kwenda Holland

KIKOSI CHA MANCHESTER UNITED KILICHOPAA KWENDA KUVAANA NA PSV

David De Gea, Sergio Romero; Daley Blind, Matteo Darmian, Paddy McNair, Marcos Rojo, Luke Shaw, Chris Smalling, Antonio Valencia; Michael Carrick, Ander Herrera, Andreas Pereira, Morgan Schneiderlin, Bastian Schweinsteiger, Juan Mata, Ashley Young; Memphis Depay, Marouane Fellaini, Anthony Martial, James Wilson.






Comments