MANCHESTER UNITED YAANGUKIA PUA KWA PSV EINDHOVEN ...yapigwa 2-1



MANCHESTER UNITED YAANGUKIA PUA KWA PSV EINDHOVEN ...yapigwa 2-1
Juan Mata throws the            ball towards the centre circle and Anthony Martial holds his            face as United playeds look dejected after PSV's second
Manchester United imeanza vibaya kampeni zake za kusaka taji la Ligi ya Mabingwa baada ya kulambwa 2-1 na PSV Eindhoven katika mchezo mkali wa kundi B.

United ilikuwa ya kwanza kupata bao dakika ya 42 kupitia kwa mchezaji wa zamani wa PSV Memphis Depay, lakini miamba hiyo ya Uingereza ikaruhusu bao la kusawazisha dakika ya 45 mfungaji akiwa ni beki Hector Moreno.

Kipindi cha pili mambo yalizidi kwenda kombo kwa United iliyokuwa ugenini baada ya kukubali bao la pili lililofungwa na  Luciano Narsingh dakika ya 57.

Beki wa kushoto wa United Luke Shaw aliumia vibaya dakika ya 18 ikiaminika kuwa amevunjika mguu kufuatia rafu mbaya ya Moreno.

Shaw aliyetibiwa uwanjani kwa zaidi ya dakika tano, alitolewa nje huku akisaidiwa na mashine za kupumua.


Kwa ujumla United ilimiliki mpira kwa sehemu kubwa ya mchezo lakini ilishindwa kutengeneza nafasi za kufunga.

PSV: Zoet 6.5; Arias 5.5, Bruma 6, Moreno 5; Hendrix 6; Propper 6.5, Guardado 6 (Schaars 72, 6); Narsingh 7, De Jong 6.5, Lestienne 8 (Locadia 86).

MAN UTD: De Gea 6; Darmian 5, Smalling 7, Blind 6, Shaw 6.5 (Rojo 24, 5.5); Schweinsteiger 6.5, Herrera 6 (Fellaini 75, 6); Young 6 (Valencia 86), Mata 5, Depay 7; Martial 6. 
Manchester United defender                  Luke Shaw is hauled down by PSV's Mexico international                  Moreno after venturing forward on the attackHii ndiyo rafu iliyommaliza Luke Shaw 
The England international                  screams out in pain and holds his right leg after                  suffering a horror injury during Tuesday night's group                  match
Luke Shaw akipaga yowe la maumivu makali
The 20-year-old left back                  promptly received treatment and was given gas and air as                  he was tended to on the Philips Stadion pitch 
Shaw akitibiwa uwanjani
Shaw was taken off on a                  stretcher and replaced by Marcos Rojo - the match was                  delayed for seven minutes while the defender was                  treated
Shaw akitolewa uwanjani na nafasi yake kuchukuliwa na Marcos Rojo 






Comments