Manchester City leo            wameionja joto ya jiwe baada ya kupata kipigo kitakatifu toka            kwa watoto wa London Tottenham Hotspurs cha goli 4-1, mchezo            ulimalipigwa katika dimba la White Hart Lane.
        Man City waliokuwa wa            kwanza kupata goli kupitia kwa kiungo wao walimsajili hivi            karibuni toka Wolfsburg Kevin De Bruyne dakika ya 25.
        Spurs walirudi kwa fujo            baada ya kuanza kumimina magoli yao kupitia kwa Eric Dier            dakika ya 45, Toby Alderweireld dakika ya 50, Harry Kane            dakika ya 61 na Erick Lamela dakika ya 79
        Vikosi vilikuwa hivi:
        Tottenham (4-2-3-1):            Lloris 7.5, Walker 6, Alderweireld 7, Vertonghen 7, Davies 6,            Dier 8, Alli 6, Lamela 7 (Carroll 87), Son Heung-min 6 (N'Jie            75), Eriksen 6.5 (Chadli 68), Kane 7
        Wachezaji wa akiba ambao            hawakucheza: Rose, Vorm, Trippier, Townsend, Carroll
        Kadi: Lamela, Dier,            Eriksen, Alli, Kane   
        Mfungaji: De Bruyne 25 
        Manchester City (4-5-1):            Caballero 4.5, Sagna 6, Demichelis 5, Otamendi 5.5, Kolarov 5,            Fernandinho 6 (Nasri 69), Fernando 6, De Bruyne 6.5, Toure 5.5            (Jesús Navas 56), Sterling 5, Aguero 5 (Roberts 86)
        Wachezaji wa akiba ambao            hawakucheza: Hart, Zabaleta, Barker, Evans
        Booked: Demichelis  
        Wafungaji: Dier 45,            Alderweireld 50, Kane 61, Lamela 79 
        Mwamuzi: Mark Clattenburg            4.5 
                
Comments
Post a Comment