MAKAHAMA YA BRAZIL IMEZUIA MALI ZA NEYMAR KWA KESI HII


MAKAHAMA YA BRAZIL IMEZUIA MALI ZA NEYMAR KWA KESI HII

sdsfds

Mahakama ya Brazil imezuia mali za mchezaji wa Barcelona Neymar ambazo zina thamani ya $48 million. Mahakama ya huko Sao Paulo imetangaza ijumaa hii mali za mchezaji huyu mwenye miaka 23 ana makosa ya kukwepa kodi ya kiasi cha $16m kati ya mwaka 2011 na 2013.

Neymar alihamia Barcelona akitokea Santos kwa kiasi cha pesa ambacho bado kinafanyiwa uchunguzi na asasi za Hispania kuhusu swala la kodi kwasababu wanadhani kuna udanganyifu ulifanyika.

Jaji Carlos Muta ametangaza kwamba mali zenye thamani ya $5m zitashikiliwa hadi pale swala la kodi litakapowekwa sawa. Neymar amepewa agizo la kulipa kodi na faida juu kutokana na kosa hilo.



Comments