IKER CASILLAS KUWEKA REKODI MPYA CHAMPIONS LEAGUE MBELE YA CHELSEA



IKER CASILLAS KUWEKA REKODI MPYA CHAMPIONS LEAGUE MBELE YA CHELSEA
Kipa wa Porto ya Ureno Iker Casillas atakuwa mchezaji aliyecheza mechi nyingi zaidi Champions League Jumanne usiku pale atakaposimama langoni dhidi ya Chelsea.

Huo utakuwa mchezo wake wa 152 ambao umtamfanya amwache nyuma nyota wa zamani wa Barcelona Xavi aliyecheza mechi 151.
  
Casillas, aliyecheza kwa miaka 16 ya mafanikio makubwa Real Madrid, alicheza mchezo wake wa 151 wakati Porto ilipotoka sare ya 2-2 na Dynamo Kiev.
Iker Casillas is set to                  become the Champions League's all-time record appearance                  maker on Tuesday night
Iker Casillas anatarajia kuwa mchezaji aliyecheza mechi nyingi zaidi Champions League
The Porto goalkeeper looks                  likely to start as Jose Mourinho's Chelsea travel to                  theĀ Estadio do Dragao
Kipa wa Porto Iker Casillas anatarajiwa kuwa kikwazo kwa Chelsea ya Mourinho Jumanne usiku kwennye uwanja wa Estadio do Dragao
Casillas made his 150th                  Champions League appearance during Real Madrid's                  semi-final draw with Juventus
Casillas alicheza mchezo wake wa 150 katika Champions League akiwa na Real Madrid katika nusu fainali dhidi ya Juventus








Comments