BRENDAN RODGERS AKALIA KUTI KAVU, LIVERPOOL YAMWANIA CARLO ANCHELOTTI



BRENDAN RODGERS AKALIA KUTI KAVU, LIVERPOOL YAMWANIA CARLO ANCHELOTTI
Brendan Rodgers anapigania kibarua chake kufa na kupona baada ya wamiliki wa Liverpool FSG kudaiwa kuanzisha mawindo ya kumnasa kocha wa zamani wa Real Madrid Carlo Ancelotti.

Ancelotti, ambaye alishinda taji la Mabingwa Ulaya akiwa na AC Milan na Real Madrid,  amefuatwa ili kumbadili Rodgers ambaye amekuwa na mwanzo mbaya msimu huu.

Inaaminika Rodgers bado anasapoti kutoka kwa baadhi ya watu wenye maamuzi Liverpool, lakini sasa kibarua chake kipo kitanzini baada Ancelotti kutupiwa ndoano ili awe mrithi wake.
Liverpool have made a shock                  move for former Real Madrid manager Carlo Ancelotti                  leaving Brendan Rodgers fighting to keep his job amid a                  poor start to the season
Liverpool inadaiwa kusaka huduma ya kocha wa zamani wa  Real Madrid Carlo Ancelotti baada ya Brendan Rodgers kuwa na mwanzo mbaya wa msimu mpya
The Reds are planning for                  life without Rodgers should results continue to slide
Liverpool inajiandaa na maisha bila Rodgers 




Comments