Siku zote kicheko cha mwisho huenda            kwa Jose Mourinho hususan pale anapokabiliana na Arsene Wenger            ambaye kwa mara nyingine tena ameshindwa kuwa mbabe kwa            mpinzani wake mkubwa.
        Arsenal imekubali kichapo cha bao            2-0 kutoka kwa Chelsea katika mchezo wa Premier League            uliochezwa Stamford Bridge.
        Wauaji wa Arsenal walikuwa ni Kurt            Zouma aliyefunga kwa kichwa dakika ya 53 na aliyetupia mpira            nyavuni dakika ya 90.
        CHELSEA (4-2-3-1): Begovic 6.5, Ivanovic 6.5, Zouma 8,              Cahill 7.5, Azpilicueta 7, Fabregas 8.5 (Mikel 92), Matic              6.5, Pedro 6.5, Oscar 6.5 (Ramires 69), Hazard 7, Costa 7.5              (Remy 82)
        ARSENAL (4-2-3-1): Cech 7, Monreal 6,              Gabriel 4, Koscielny 6.5, Bellerin 6, Coquelin, 6.5              (Chambers 45), Cazorla 5, Sanchez 6.5, Ozil 5.5 (Giroud 75),              Ramsey 6.5, Walcott  7
        Kurt              Zouma akifunga kwa kichwa kufutia freekick ya Cesc Fabregas
        Zouma              akishangilia bao lake
        Ni              shwangwe kwa wachezaji wa Chelsea
        
Comments
Post a Comment