Arsenal imetakata katika Premier League baada ya kuichapa Stoke City 2-0 na kuchupa hadi nafasi ya pili.
Shukran kubwa ziwaendee Theo Walcott na Olivier Giroud ambao ndio waliofungia Arsenal mabao hayo yaliyoashiria kuwa sasa vijana wa Arsene Wenger wameanza kushika kasi.
Theo Walcott akiifungia Arsenal bao la kwanza
Olivier Giroud anatokea benchi na kufunga bao la pili
Comments
Post a Comment