ARSENAL KICHWA CHA MWENDAWAZIMU LIGI YA MABINGWA, YAPIGWA 3-2 NA OLYMPIACOS ...Bayern Munich yaifumua Dinamo Zagreb 5-0


ARSENAL KICHWA CHA MWENDAWAZIMU LIGI YA MABINGWA, YAPIGWA 3-2 NA OLYMPIACOS ...Bayern Munich yaifumua Dinamo Zagreb 5-0
Arsenal wamenyamazishwa kwenye uwanja wao wa Emirates katika mchezo wa Champions League baada ya kufungwa 3-2 na Olympiacos ya Ugiriki.

Matokeo haya yanaifanya Arsenal iburuze mkia katika kundi F baada ya kupoteza michezo yake yote miwili huku Bayern Munich iliyoifumua Dinamo Zagreb 5-0 ikiendelea kujikita kileleni mwa kundi hilo.

Goli la kwanza la  Olympiacos lilifungwa  na Felipe Pardo dakika ya 33, lakini Theo Walcott akasawazisha dakika mbili baadae kabla ya kipa wa Arsenal David Ospina hajajifunga dakika ya 44.

Alexis Sanchez akaipa uhai Arsenal baada ya kuisawazishia dakika ya 65 na kuwapa mashabiki wao furaha iliyodumu kwa dakika moja kabla ya Alfred Finnbogason hajawafungia wageni bao la ushindi dakika ua 66.

ARSENAL (4-2-3-1): Ospina 4, Bellerin 6.5 (Campbell 86, 6), Gabriel, 6.5, Koscielny 6 (Mertesacker 57, 6), Gibbs 6, Coquelin 6 (Ramsey 60, 6), Cazorla, 6.5, Oxlade-Chamberlain 7, Ozil 6.5, Sanchez 8, Walcott 8

OLYMPIACOS (4-1-4-1): Roberto 7.5; Elabdellaoui 7.5, Botia 8, Siovas 8, Leandro Salino 7; Cambiasso 8.5; Pardo 8, Kasami 8, Fortounis 7.5 (Vouras 87), Seba 7.5 (Hernani 73); Ideye 6.5 (Finnbogason 46, 7)

Moments after Alexis Sanchez                  had made it 2-2, Olympiacos went straight up the other                  end and regained the lead through Finnbogason
Muda mfupi baada Alexis Sanchez kufanya mchezo uwe 2-2, Olympiacos wakapata bao la ushindi kupitia kwa Finnbogason
Arsenal defender Gabriel                  lays on the Emirates turf after Greek side Olympiacos                  put the Premier League giants in a precarious position
Beki wa Arsenal  Gabriel akilala chini kwa huzuni baada mpira kumalizika Emirates kwa kipigo kutoka kwa  Olympiacos 
Gabriel cuts a despondent                  figure as he sits shirtless on the pitch following                  another devastating defeat in Europe for the Gunners
Huzuni tupu kwa Gabriel na jezi imekuwa nzito sasa
Arsenal winger Alex                  Oxlade-Chamberlain looks on dejected after Arsenal lost                  their second successive Champions League match
Winga wa Arsenal Alex Oxlade-Chamberlain akiwa hoi baada ya mchezo
Aaron Ramsey (centre) and                  Mesut Ozil (right) appear to realise the extent of their                  defeat as Olympiacos seal a late victory at the                  Emirates
Wachezaji wa Arsenal wakiwa hawaamini kama kweli wachukua kichapo Emirates


Comments