Hili ni tegemeo            jipya ndani ya Manchester United, kinda Andreas Pereira  ameonyesha uwezo wa hali ya juu katika            mchezo wa Capital One Cup dhidi ya Ipsiwch.
        Kama vile hiyo            haitoshi Andreas Pereira akaonyesha uchawi wa Kibrazil kwa kufunga            bao tamu la free-kick huku akichanua uwanjani kwa pasi zake            zenye macho.
        Andreas Pereira            ambaye msimu uliopita alizawadiwa tuzo ya mchezaji bora wa            U-21, mwenye uwezo wa kucheza kama winga na kiungo            mshambuliaji, anatajwa na wachambuzi wa soka kama hazina kubwa            ya Manchester United, si kwa miaka ijayo bali hata msimu huu.
         Andreas Pereira              akifunga kwa free-kick  Old Trafford
        Hivi ndivyo Pereira              alivyouchambua ukuta wa Ipswich Town kwa freek-kick bab              kubwa
        Pereira akishangilia              bao lake
          
Comments
Post a Comment