ALEXIS SANCHEZ MCHEZAJI WA KWANZA KUPIGA HAT-TRICK LIGI KUU ZA ITALIA, HISPANIA NA ENGLAND



ALEXIS SANCHEZ MCHEZAJI WA KWANZA KUPIGA HAT-TRICK LIGI KUU ZA ITALIA, HISPANIA NA ENGLAND
Alexis Sanchez alirejea kwenye 'fomu' yake Jumamosi baada ya kuisaida Arsenal kuinyuka Newcastle 5-2 huku akisukumiza wavuni mabao matatu (hat-trick) kwenye mchezo safi wa Premier League. 

Kwa alichokifanya Sanchez Jumamosi, akaingia kwenye rekodi ya aina yake baada ya kuwa mchezaji wa kwanza kupiga hat-trick kwenye ligi kuu za Italia (Serie A), Hispania (La Liga) na England (Premier League.

ALEXIS SANCHEZ HAT TRICKS 

SERIE A: Udinese 7-0 Palermo, Feb 27 2011
LA LIGA: Barcelona 4-0 Elche, Jan 5, 2014
PREMIER LEAGUE: Leicester 2-5 Arsenal, Sept 26, 2015 
Hat -trick ya kwanza ya Sanchez  ilianzia Italia wakati akiichezea Udinese, February 2011 ambapo alifunga mara tatu katika ushindi wa 7-0 dhidi ya Palermo.

Miezi mitano baadae kiwango chake kikaivutia Barcelona ya Hispania na kumsajili kwa pauni milioni 23.

January 2014 Sanchez akaipigia Barcelona hat-trick kwenye dimba la Nou Camp katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Elche. 

Arsenal star Alexis Sanchez                  became the first man to score hat-tricks in Italy, Spain                  and England on Saturday
 Alexis Sanchez amekuwa mchezaji wa kwanza kupiga hat-trick Italia, Hispania na England 
Sanchez's first treble came                  in his Udinese days in 2011, when he scored a first-half                  hat-trick against Palermo
Sanchez alianza kupiga hat-trick Udinese ya Italia mwaka 2011 dhidi ya Palermo
Sanchez scored his hat-trick                  in Spain for Barcelona in January 2014, in a 4-0 victory                  against Elche
Sanchez akafunga hat-trick yake ya pili Hispania akiwa na Barcelona  January 2014 dhidi ya Elche






Comments