STERLING ‘AKOPI’ NA ‘KUPESTI’ KUTOKA KWA CRISTIANO RONALDO



STERLING 'AKOPI' NA 'KUPESTI' KUTOKA KWA CRISTIANO RONALDO
2B6ACAE800000578-0-image-a-1_1439764432894
Raheem Sterling tayari amezoea maisha ya Manchester City akitumia jezi yake mpya namba 7 katika uwanja wa Etihad.
Nyota huyu aliyesajiliwa kutoka Liverpool kwa paundi milioni 49 ameanzisha logo yake ya kibiashara kama alivyofanya Mwanasoka bora wa dunia, Cristiano Ronaldo ambaye hutumia tag ya 'CR7′.
The Manchester City star also had the name of his              daughter 'Melody-Rose' on his footwear
Baada ya kupewa jezi namba 7, Raheem anavalia viatu vya rangi ya pink na ameandika jina la mtoto wake wa kike , 'Melody Rose' pamoja na tag ya 'RS7′.
The Real Madrid superstar has turned the tag into a              hugely successful global brand
Logo hii inafanana na ya Ronaldo ambaye ameiendeleza na kuwa brand kubwa zaidi duniani.
Sterling (right) in action as Manchester City beat              Chelsea 3-0 at the Etihad Stadium on Sunday



Comments