SIMBA YATAMBULISHA WAKALI WAKE WAPYA KUELEKEA MSIMU MPYA WA LIGI


SIMBA YATAMBULISHA WAKALI WAKE WAPYA KUELEKEA MSIMU MPYA WA LIGI
Mussa Hassan Mgosi

Mussa Hassan Mgosi

'Wekundu wa Msimbazi' Simba leo imewametambulisha wanandinga wake wapya ambao imewasajiliwa kwa ajili ya msimu ujao. Wachezaji hao wametambulishwa leo mbele ya mashabiki wao kabla ya kupigwa kwa mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya SC Villa ya Uganda ambapo Simba wameshinda mchezo huo kwa goli 1-0.

Hawa ni miongoni mwa wachezaji ambao wametambulishwa leo ikiwa ni kilele cha maadhimisho ya siku ya 'Simba Day' ambayo huadhimishwa kila mwaka ifikapo Agosti 8.

Peter Mwalyanzi

Peter Mwalyanzi

Emery Nimubona

Emery Nimubona

Vicent Angban

Vicent Angban

Hamis Kiiza

Hamis Kiiza

Mwinyi Kazimoto

Mwinyi Kazimoto 



Comments