PICHA: ANGALIA SIMBA ILIVYOFANYA YAKE JANA TAIFA



PICHA: ANGALIA SIMBA ILIVYOFANYA YAKE JANA TAIFA
Mshambuliaji Kelvin Ndayisenga akishangilia baada ya              kuifungia Simba goli la kwanza

Mshambuliaji Kelvin Ndayisenga akishangilia baada ya kuifungia Simba goli la kwanza

Timu ya Simba SC jana ilishinda mchezo wake wa kirafiki wa kimataifa kwa goli 2-0 dhidi ya timu ya URA FC ya Uganda mechi iliyopigwa kwenye uwanja wa Taifa.

Hapa nimekuwekea picha zikionesha matukio mbalimbali wakati mcheo huo ulivyokuwa ukiendelea.

Kelvin Ndayisenga (katikati) akipongezwa na wachezaji              wenzake baada ya kuifungia timu yake goli la kwanza

Kelvin Ndayisenga (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia timu yake goli la kwanza

Watoto wazuri nao walikuwepo wakishuhudia mtanange kati              ya Simba na URA FC

Watoto wazuri nao walikuwepo wakishuhudia mtanange kati ya Simba na URA FC

Simba vs URA 9

Simba vs URA 8

IMG_7567

IMG_7543

Juuko Murshid (kulia) akishangilia pamoja na Ibrahim              Ajibu baada ya kuifungia timu yake goli la pili

Juuko Murshid (kulia) akishangilia pamoja na Ibrahim Ajibu baada ya kuifungia timu yake goli la pili

9

4

Simba vs URA 5

Simba vs URA 4

Kikosi cha URA kilichoanza dhid ya Simba SC

Kikosi cha URA kilichoanza dhid ya Simba SC

Kikosi cha timu ya Simba SC kilichoanza kwenye mchezo              dhidi ya URA

Kikosi cha timu ya Simba SC kilichoanza kwenye mchezo dhidi ya URA

Wachezaji wa Simba kabla ya kushuka kwenye gari

Wachezaji wa Simba kabla ya kushuka kwenye gari

Basi la Simba likiwasili uwanja wa Taifa

Basi la Simba likiwasili uwanja wa Taifa



Comments