MAN UNITED LEO UWANJANI UEFA CHAMPIONS, RATIBA NZIMA HII HAPA…


MAN UNITED LEO UWANJANI UEFA CHAMPIONS, RATIBA NZIMA HII HAPA…
2B725DCA00000578-0-image-a-91_1439841113066
Nahodha wa United, Wayne Rooney akiwasili Hotelini
Baada ya kukosa michuano ya Ulaya msimu iliopita, leo usiku Manchester United wanacheza mechi ya kwanza ya raundi ya mwisho ya mtoano dhidi ya Club Brugge ya Ubelgiji.
United manager Louis van Gaal (right) and midfielder              Ander Herrera (left) arrive at the Lowry Hotel 
Wachezaji wa Man United jana waliwasili Hoteli ya kifahari ya Lowry tayari kujiandaa na mechi hiyo ya kwanza kuwania kufuzu hatua ya makundi ya Uefa Champions League ambayo inachezwa Old Trafford kuanzia majira ya saa 3:45 kwa saa za Afrika Mashariki.
United playmaker Juan Mata takes a phone call as he              joins the squad in their luxury digs for the night 
RATIBA NZIMA YA MECHI ZA LEO ZA UEFA


Comments