Nahodha              wa United, Wayne Rooney akiwasili Hotelini
        Baada ya kukosa michuano            ya Ulaya msimu iliopita, leo usiku Manchester United wanacheza            mechi ya kwanza ya raundi ya mwisho ya mtoano dhidi ya Club            Brugge ya Ubelgiji.
        Wachezaji wa Man United            jana waliwasili Hoteli ya kifahari ya Lowry tayari kujiandaa            na mechi hiyo ya kwanza kuwania kufuzu hatua ya makundi ya            Uefa Champions League ambayo inachezwa Old Trafford kuanzia            majira ya saa 3:45 kwa saa za Afrika Mashariki.
        RATIBA NZIMA YA MECHI ZA            LEO ZA UEFA
                
Comments
Post a Comment