KOCHA WA SIMBA ATUPIA GOLI LA ‘KIDEONI’, VIONGOZI WA SIMBA WAKIICHAPA BONGO MOVIES



KOCHA WA SIMBA ATUPIA GOLI LA 'KIDEONI', VIONGOZI WA SIMBA WAKIICHAPA BONGO MOVIES
Kocha wa Simba Dylan Kerr (katikati) akipongezwa na              wachezaji wenzake baada ya kuifungia goli timu ya viongozi              wa Simba

Kocha wa Simba Dylan Kerr (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia goli timu ya viongozi wa Simba

Kocha mkuu wa Simba Dylan Kerr jana alitupia goli pekee wakati timu ya viongozi wa Simba ilipoikabili timu ya Bongo Movies kwenye mchezo wa utangulizi kabla ya mchezo wa kirafiki wa kimataifa kati ya Simba SC dhidi ya SC Villa ya Uganda wakati wa maadhimisho ya siku ya Simba Day siku ambayo huadhimishwa kila ifikapo Agosti 8, kila mwaka.

Simba day 12Kerr alionesha bado yuko fiti kwenye mchezo huo kutokana na uwezo mkubwa aliounesha wakati akisakata kandanda uwanjani na kuwasumbua wachezaji wa Bongo Movies.

Simba day 13Licha ya kuwa kocha, Kerr aliwahi kucheza kama mlinzi wa kushoto kwenye vilabu tofauti vikubwa vya nchini England kama Sheffield Wednesday, Leeds United, Reading, Blackpool na vingine vingi kabla hajaanza rasmi kazi ya ukocha.

Kikosi cha wachezaji wa timu ya viongozi wa Simba              pamoja na viongozi wengine wa benchi la ufundi wa kikosi              hicho

Kikosi cha wachezaji wa timu ya viongozi wa Simba pamoja na viongozi wengine wa benchi la ufundi wa kikosi hicho

Picha nyingine wakati wa mechi ya viongozi wa Simba SC dhidi ya Bongo Movies

Kikosi cha timu ya Bongo Movies kilichocheza dhidi ya              timu ya viongozi wa Simba SC

Kikosi cha timu ya Bongo Movies kilichocheza dhidi ya timu ya viongozi wa Simba SC

Mchezaji wa viongozi wa Simba Ibrahim Masoud 'Maetro'              akipasha misuli kabla ya kuingia uwanjani

Mchezaji wa timu ya viongozi wa Simba Ibrahim Masoud 'Maetro' akipasha misuli kabla ya kuingia uwanjani

Rais wa Simba Evans Aveva jana ndiye alikuwa kocha wa              timu ya viongozi wa Simba

Rais wa Simba Evans Aveva (aliyesimama) jana ndiye alikuwa kocha mkuu wa timu ya viongozi wa Simba

Simba day 11

Simba day 14



Comments