BOSI MWENYEWE WA MANCHESTER UNITED AAMUA KUTIA TIMU CATALUNYA…



BOSI MWENYEWE WA MANCHESTER UNITED AAMUA KUTIA TIMU CATALUNYA…
2B48839600000578-0-image-m-9_1439831500324
Mkurugenzi mkuu wa Manchester United, Ed Woodward yupo mjini Barcelona, Hispania kujaribu kufanya mazungumzo ya kumsajili Pedro kwa paundi milioni 22.
Woodward alikwea pipa jana kwenda  Catalunya kushuhudia mechi ya marudiano ya Spanish Super Cup kati ya Barcelona na Athletic Bilbao iliyopigwa uwanja wa Camp Nou.
Inafahamika kwamba bosi huyo wa Old Trafford anatarajia kufikia hatua nzuri ya kukamilisha dili hilo, huku Chelsea nao wakihusishwa kuvutiwa na nyota huyo.


Comments