ARSENAL, LIVERPOOL HAKUNA MBABE ...Petr Cech aibuka shujaa



ARSENAL, LIVERPOOL HAKUNA MBABE ...Petr Cech aibuka shujaa
Christian Benteke squanders a golden opportunity to put            his side in the lead, while Nacho Monreal attempts to block            his shot
Arsenal wakiwa kwenye uwanja wao wa nyumbani, wamelazimishwa sare ya 0-0 na Liverpool katika mchezo mgumu wa Premier League.

Liverpool walitawala vizuri katika dakika 45 za kwanza lakini kipa wa Arsenal Petr Cech aliyeng'ara vilivyo akawa shujaa kwa kuondoa michomo ya hatari kutoka kwa Christian Benteke na Philippe Coutinho.

Hata hivyo ni Arsenal watakaoumizwa zaidi na sare hii baada ya kiungo Aaron Ramsey kufunga bao safi dakika ya 9 lakini kwa mshangao wa wengi mwamuzi Michael Oliver akalikataa kwa madai ya kuwa mfungaji alikuwa ameotea.

Liverpool bado hajaifungwa hata goli moja tangu msimu huu ulipoanza baada ya kushinda  mechi zake mbili za mwanzo dhidi ya Stoke City na Bournemouth.  

ARSENAL (4-2-3-1): Cech; Bellerin, Chambers, Gabriel, Monreal; Coquelin (Oxlade-Chamberlain 82mins), Ramsey; Ozil, Cazorla, Sanchez; Giroud (Walcott 73)

LIVERPOOL (4-3-3): Mignolet; Clyne, Lovren, Skrtel, Gomez; Can, Milner, Lucas (Rossiter 76); Coutinho (Moreno 88), Firmino (Ibe 63), Benteke.
Petr            Cech reaches down his left-hand side to push Benteke's            close-range shot around the post and away for a corner
Petr Cech akiruka na kupangua kwa mkono wa kushoto shuti la karibu la  Benteke

Aaron Ramsey fires the ball                  past Simon Mignolet however his effort was ruled offside                  by the Premier League officialsAaron Ramsey akimtungua kipa Simon Mignolet lakini hata hivyo goli lake likakataliwa
Ramsey gestures to the                      assistant referee after his goal is disallowed                      during the Premier League clash in north LondonRamsey akimlaumu mwamuzi msaidizi baada ya goli lake kukataliwa kwa madai ya kuotea




Comments