UNAMUELEWA MOURINHO ANAPOTAKA KUMSAJILI KINDA HUYU?



UNAMUELEWA MOURINHO ANAPOTAKA KUMSAJILI KINDA HUYU?
2AA243C700000578-3165727-image-a-49_1437160497980
 Kenedy (kulia) akichuana na Cesc Fabregas
Nyota kinda wa Brazil,  Kenedy ni miongoni mwa wachezaji 24 wa Chelsea waliofanya mazoezi jana mjini Montreal, Marekani.
Chelsea chini ya kocha Jose Mourinho imeanza kutafuta kasi ya kutetea ubingwa wake wa ligi kuu England msimu ujao.
Katika mazoezi ya jana, Kenedy aliongezwa katika kundi la wachezaji wa kikosi cha kwanza na tayari klabu yake ya  Fluminese ya Brazil imemruhusu kijana huyo mwenye miaka 19 kujiunga na machampion wa EPL.
Ada ya uhamisho wake kutua Stamford Bridge itakuwa paundi milioni 6.3
Kenedy (right) headed out for the session with                    fellow Brazilian-born players Ramires and Diego Costa,                    who have enjoyed the summer off
Kenedy (kulia) akiwa na Wabrazil wenzake,  Ramires na Diego Costa,
Player of the year Eden Hazard was among the                    group and he stared into the lens of the cameras                    before heading out for the morning session
Mchezaji bora wa mwaka Eden Hazard alikuwepo pia
Diego Costa fires in a shot
 Diego Costa akipiga matizi
Manager Jose Mourinho issues instructions to his                    24-man group ahead of the session at the Montreal                    Impact Training Centre on Friday
Jose Mourinho akiwapa maelekezo vijana wake 24 kwenye mazoezi yaliyofanyika jana Montreal Impact Training Centre 
Serbian defender Branislav Ivanovic poses for a                    selfie with two fans as Chelsea delighted a group of                    local supporters in Montreal
Mlinzi raia wa Serbia,  Branislav Ivanovic  akipiga selfie na mashabiki wawili 
Captain John Terry was also happy to oblige for                    photos with the group on the sidelines after the                    intense morning training session
Nahodha, John Terry naye kama kawaida


Comments