Raheem Sterling            amepiga hatua nyingine kuelekea usajili wake wa pauni milioni            49 kwenda Manchester City baada ya kufuzu vipimo vya afya            Jumanne hii.
        Winga huyo wa            Liverpool sasa anaelekea kutimiza ndoto yake ya kuondoka            Anified baada ya msuguano wa muda mrefu juu ya hatma yake.
        Jumapili iliyopita            vilabu hivyo viwili vikafikia muafaka wa kufanya biashara na            sasa baada ya Raheem kufuzu vipimo vya afya, Manuel Pellegrini anategemewa kumsajili            mchezaji huyo chaguo lake kuu kiangazi hiki.
        Raheem Sterling mambo              safi, safari ya Man City imeiva
        Sterling akitoka              hospitalini kufanya vipimo vya afya
        Sterling akiweka saini              kwenye mpira wa kibabu shabiki wa Manchester City nje ya              hospitali alipokwenda kufanya vipimo vya afya
            
            
        
Comments
Post a Comment