MEMPHIS DEPAY ATINGA MAZOEZI YA MANCHESTER UNITED


MEMPHIS DEPAY ATINGA MAZOEZI YA MANCHESTER UNITED
Memphis Depay ameungana na wachezaji wenzake wa Manchester United ikiwa ni mara yake ya kwanza kutinga mazoezini tangu alipojiunga na timu hiyo kwa pauni milioni 25 akitokea PSV.

Winga huyo mwenye umri wa miaka 21 alikuwa mchezaji pekee mpya kutinga Carrington wakati kikosi cha Louis van Gaal kilipoanza mazoezi Jumatatu tayari kwa maandalizi ya msimu mpya.

Memphis Depay (second                  right), Wayne Rooney (left), Phil Jones (right) and                  Michael Carrick train with their Manchester United                  team-mates
Memphis Depay (wa pili kutoka kulia), Wayne Rooney (kushoto), Phil Jones (kulia) na Michael Carrick wakiwa mazoezini 
Luke Shaw (centre) and Depay                looked in high spirits as they trained under the watchful                eye of Manchester United manager Louis van Gaal
Luke Shaw (katikati) na Depay wakiwa kwenye ari kubwa mazoezini chini ya kocha  Louis van Gaal
Depay wore No 26 for the                pre-season training session, previously worn by Shinji                Kagawa, as well as flops Gabriel Obertan and Manucho

Katika kipindi chote cha maandalizi ya msimu mpya, Depay atavaa jezi No 26 iliyokuwa ikivaliwa na Shinji Kagawa





Comments