Memphis Depay            ameungana na wachezaji wenzake wa Manchester United ikiwa ni            mara yake ya kwanza kutinga mazoezini tangu alipojiunga na            timu hiyo kwa pauni milioni 25 akitokea PSV.
          
Winga huyo mwenye umri wa miaka 21 alikuwa mchezaji pekee mpya kutinga Carrington wakati kikosi cha Louis van Gaal kilipoanza mazoezi Jumatatu tayari kwa maandalizi ya msimu mpya.
        Winga huyo mwenye umri wa miaka 21 alikuwa mchezaji pekee mpya kutinga Carrington wakati kikosi cha Louis van Gaal kilipoanza mazoezi Jumatatu tayari kwa maandalizi ya msimu mpya.
Memphis Depay (wa pili              kutoka kulia), Wayne Rooney (kushoto), Phil Jones (kulia) na              Michael Carrick wakiwa mazoezini 
          Luke Shaw (katikati) na Depay wakiwa                kwenye ari kubwa mazoezini chini ya kocha  Louis van Gaal
          Katika kipindi chote cha                maandalizi ya msimu mpya, Depay atavaa jezi No 26                iliyokuwa ikivaliwa na Shinji Kagawa
          
Comments
Post a Comment