MANGALA WA MAN CITY MWENYE UMREFU WA FUTI 6 ALIPOGEUZWA KUWA ‘ANDUNJE’ NA TIMOFEY MOZGOV


MANGALA WA MAN CITY MWENYE UMREFU WA FUTI 6 ALIPOGEUZWA KUWA 'ANDUNJE' NA TIMOFEY MOZGOV
Sentahafu wa Manchester City Eliaquim Mangala anayejulikana kwa urefu wake wa futi 6 na inchi 2, alijukuta akijiona mfupi kupindukia pale aliposimama sambamba na staa wa basketball Timofey Mozgov wa Cleveland Cavaliers.

Mangala yupo mapumzikoni Miami huko Marekani ambapo alipata wasaa wa kupiga picha ya pamoja na Mozgov, 28 mwenye urefu wa futi 7 na inchi 1. 
Manchester City centre back Eliaquim Mangala felt                  'tiny' as he posed for a picture with Timofey Mozgov
 Eliaquim Mangala (kulia) akiwa na Timofey Mozgov
France international                  Mangala, pictured with Newcastle's Rolando Aarons,                  usually towers above his opponents
Mangala katika mechi ya msimu ulipita dhidi ya Newcastle


Comments