MANCHESTER UNITED YAKARIBIA KUMNASA BEKI MATTEO DARMIAN ITALIA


MANCHESTER UNITED YAKARIBIA KUMNASA BEKI MATTEO DARMIAN ITALIA
Manchester United inakaribia kumsajili beki wa kulia wa Kitaliano Matteo Darmian baada ya majadiliano na klabu yake ya Torino kufikia hatua nzuri. 

United imekuwa ikisaka kwa udi na uvumba beki wa kulia baada ya kocha wake  Louis van Gaal kuamua kuwa Rafael si mtu sahihi.

Manchester United wanaaminika kuwa watafanikiwa kumsajili mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 kwa ada inayokisiwa kufikia pauni milioni 11.
Matteo Darmian (right)                  scores past Juventus goalkeeper Gianluigi Buffon while                  playing for Torino in April
Matteo Darmian (kulia) anakaribia kutua United
Darmian has made 13 appearances for Italy in his                  career       Manchester United are closing in on a deal to sign                  Torino right back Darmian
Kwa  muda Manchester United imekuwa ikisaka beki wa kulia na sasa beki huyu wa kimataifa wa Italia anaelekea kukata kiu yao








Comments