MANCHESTER UNITED YAAMBIWA NA SOUTHAMPTON RUKSA KUMSAJILI MORGAN SCHNEIDERLIN LAKINI SI KWA PESA YA 'KITOTO'



MANCHESTER UNITED YAAMBIWA NA SOUTHAMPTON RUKSA KUMSAJILI MORGAN SCHNEIDERLIN LAKINI SI KWA PESA YA 'KITOTO'

Southampton imesema haitamzuia Morgan Schneiderlin  kujiunga na Manchester United lakini kocha wake Ronald Koeman ametahadharisha kuwa klabu hiyo ya Old Trafford lazima itoe mshiko mnene.

United ilipeleka ofa ya pauni milioni 20 kwaajili ya Schneiderlin lakini wameambiwa wakajipange upya na wajiongeze hadi kitu kinachokaribia pauni milioni 30 kama kweli wahahitaji huduma ya kiungo huyo wa kimataifa wa Ufaransa.

"Kila mchezaji ana thamni yake na tuna uzoefu wa kutosha wa kuuza wachezaji," anaeleza Koeman. "Kama kuna dili la kumtaka Morgan Schneiderlin ni sawa ila lazima iwe kwa pesa tunayotaka."

"Ni mchezaji wetu muhimu, ni mchezaji wa kimataifa. Lakini hilo sidhani kama ni tatizo kwa Manchester United."
Southampton boss Ronald                  Koeman says Manchester United made a formal bid for                  Morgan Schneiderlin
 Manchester United wanatakiwa kuongeza mshiko ili kumpata Morgan Schneiderlin
United are thought to have                  tabled an offer of £20million for Southampton's France                  international last month
United ilidhani ofa yao ya pauni milioni 20 ingetoshasha kumnasa kiungo huyu wa kimataifa wa Ufaransa
Koeman said the bid was                  dismissed as not 'serious' and said it wasn't enough for                  his star midfielder
Koeman dau la milioni 20 ni utani, halilingani na uwezo wa mchezaji wao



Comments