LIVERPOOL YAANZA KUJIANDAA NA MAISHA BILA RAHEEM STERLING




LIVERPOOL YAANZA KUJIANDAA NA MAISHA BILA RAHEEM STERLING
Liverpool imeanza kujiandaa na maisha bila Raheem Sterling baada ya kupaa kuelekea kwenye ziara yao ya Mashariki ya Mbali bila winga huyo anayekaribia kutua Manchester City.

Raheem anakwenda City kwa pauni milioni 45 ambapo maofisa wa klabu hiyo wameidokeza Daily Mail la Uingereza kuwa usajili huo unakaribia kukamilika.

Brendan Rodgers arrives at Manchester Airport as                  his side prepare to fly to Asia for pre-season      The Liverpool boss had a                  glum look on his face as he prepares to lose his prized                  asset
Brendan Rodgers akiwasili Manchester Airport wakati kikosi chake cha Liverpool kikijiandaa kupaa kwenda  Asia kwa maadalizi ya msimu mpya
Raheem                Sterling didn't travel with the squad and is close to                completing a move to Manchester City
Raheem Sterling hajasafiri na Liverpool ili kukamilisha usajili wake na   Manchester City
Nathaniel Clyne (centre)                    and Danny Ings (far right) both joined the club in the                    summer Nathaniel Clyne (katikati) na Danny Ings (kulia) ambao wote wamejiunga na Liverpool kiangazi hiki na wapaa kuelekea Mashariki ya Mbali

RATIBA YA MECHI ZA LIVERPOOL 

July 14 - Thailand All-Stars
July 17 - Brisbane Roar
July 20 - Adelaide United
July 24 - Malaysia XI 
Mchezaji mwingine ambaye hajaondoka na Liverpool ni mshambuliaji Mario Balotelli.

Inaaminika mchezaji huyo mtukutu wa Italia naye siku zake za kuishi Liverpool zinahesabika.




Comments