HATIMAYE MIKEL ARTETA ASAINI MKATABA MPYA ARSENAL




HATIMAYE MIKEL ARTETA ASAINI MKATABA MPYA ARSENAL
Hatimaye nahodha wa Arsenal Mikel Arteta ameondoa ukungu uliotanda juu ya hatma yake Emirates baada ya kusaini mkataba mpya.

Hatua hiyo inamfanya Arsene Wenger apunguze kasi yake ya kusaka kiungo mpya mkabaji kiangazi hiki.

Arteta, 33, alikubali dili la mwaka mmoja miezi kadhaa iliyopita lakini kuchelewa kwake kusaini mkataba huo kukazua mashaka mengi kuwa huenda anaondoka Arsenal kiangazi hiki.

Mikel Arteta has extended                    his stay at Arsenal by at least another year after                    signing a new contract at the club
Mikel Arteta amesaini mkataba mpya wa mwaka mmoja Arsenal


Comments