CHELSEA YAFANIKIWA KUMNASA KENEDY KINDA HATARI WA BRAZIL



CHELSEA YAFANIKIWA KUMNASA KENEDY KINDA HATARI WA BRAZIL
Chelsea imefanikiwa kumnasa mshambuliaji hatari wa Brazil Kenedy aliyekuwa  akiwindwa pia na Manchester United.
Imeelezwa kuwa Kenedy amefanya vipimo vya afya jana tayari kukamilisha usajili wake wa pauni milioni 6.3.
Inaaminika kuwa mashambuliaji huyu mwenye umri wa miaka 19 kutoka klabu ya Fluminense, anaanguka mkataba wa miaka mitano Stamford Bridge.
Kenedy takes on two                  Argentinian defenders during an Under 20 clash in                  Montevideo in February
Kenedy katika moja ya majukumu yake kwenye timu ya taifa ya Brazil
Kenedy of Fluminense                  celebrates his goal against Cruzeiro last year, at the                  Maracana Stadium
Kenedy akishangilia moja ya magoli yake aliyoifungia klabu ya  Fluminense
Kenedy                has picked up seven Under 20 caps for Brazil despite only                turning 19 in February
Kenedy akiitumikia U20 ya Brazil


Comments