REAL MADRID WAIPIGA CHINI OFA YA MANCHESTER UNITED YA KUTAKA KUMSAJILI SERGIO RAMOS


REAL MADRID WAIPIGA CHINI OFA YA MANCHESTER UNITED YA KUTAKA KUMSAJILI SERGIO RAMOS
Real Madrid imekataa ofa ya Manchester United ya pauni milioni 35 kwaajili kumsajili sentahafu wao Sergio Ramos.

United ilichukua hatua ya kupeleka ofa hiyo Alhamisi katika kipindi ambacho beki huyo mwenye umri wa miaka 29 ameonyesha wazi nia ya kuondoka Hispania.

Madrid wameipiga chini ofa hiyo na sasa inadaiwa wanaangalia uwezekano wa kumalizana na Ramos ili abakie Santiago Bernabeu ingawa beki huyo bado anataka kuona safari yake ya kwenda Manchester United inafanikiwa.
Real Madrid have rejected                  Manchester United's opening offer of £35million for                  centre back Sergio Ramos
Real Madrid imekataa ofa ya  Manchester United yenye thamani ya pauni  £35million kwaajili ya Sergio Ramos
Ramos looks to be on his way                  out of La Liga giants Real Madrid, with United                  considering a revised offer
Ramos huenda akaondoka Real Madrid
The Spain international has                  been ever-present in the Madrid team since his arrival                  at the club in 2005
Ramos amekuwa Real Madrid tang mwaka 2005





Comments