NATHANIEL CLYNE SAFI LIVERPOOL, AMALIZA KUFANYA VIPIMO VYA AFYA



NATHANIEL CLYNE SAFI LIVERPOOL, AMALIZA KUFANYA VIPIMO VYA AFYA
Nathaniel Clyne amepigwa picha akitokea hospitali ya Liverpool mara baada ya kufanya vipimo vya afya Jumatatu hii katika hatua za kuelekea kukamilisha usajili wake kutoka Southampton.
Beki huyo wa kulia anakwenda Liverpool kwa pauni milioni 10.5 huku baadae zikitakiwa kuongeza pauni milioni 2 kadri maendeleo yake yatakavyokuwa Anfield.
Nathaniel Clyne aliyekuwa pia akiwaniwa na Manchester United, anakuwa mchezaji wa sita kutua Liverpool kiangazi hiki.
Nathaniel Clyne was pictured leaving a hospital in                  Liverpool ahead of his move to Liverpool      The full-back will be                  Brendan Rodgers sixth signing of the summer
Nathaniel akitokea hospital ya Liverpool akiwa amemaliza kufanya vipimo vya afya
The England international                    then made his way to a chauffeured car and left the                    hospital car park Nathaniel akiingia kwenye gari 
Clyne                will have a medical with Liverpool on Monday as he closes                in on a £12.5million move
Clyne  kutangazwa rasmi Liverpool muda wowote kuanzia sasa




Comments