MANUEL PELLEGRINI AMPA KICHAMBO CHA UHAKIKA JOSE MOURINHO



MANUEL PELLEGRINI AMPA KICHAMBO CHA UHAKIKA JOSE MOURINHO
Bosi wa Manchester City MANUEL PELLEGRINI amemshutumu kocha wa Chelsea Jose Mourinho kwa kusema ni mpenda majigambo.
Pellegrini amesema kocha huyo wa Chelsea anapenda kubebeshwa sifa zote pale timu yake inaposhinda badala ya sifa kwenda kwa timu nzima.
Jose Moutinho Manuel Pellegrini
ANACHONGA SANA: Pellegrini amesema Mourinho anapenda majigambo yaliyopitiliza 
"Wakati niliposhinda Premier League, I sikusema neni lolote"
Manuel Pellegrini
Pellegrini  ameliambia gazeti la Chile El Mercurio: "Wakati anaposhinda anapenda kubeba sifa yeye peke yake. Mimi siko hivyo.
"Wakati niliposhinda Premier League, sikusema neno lolote.
"Sina tatizo na Mourinho, sio adui yangu na hakuna mgogoro wowote baina yangu na yeye, lakini natofautiana nae kwa kimbembele chake."



Comments