‘MAESTRO’ ANDREA PIRLO ANUKIA KWA OBAMA


'MAESTRO' ANDREA PIRLO ANUKIA KWA OBAMA
download
Kiungo mkongwe wa Juventus na Italia, 'Maestro' Andrea Pirlo anatarajia kusaini mkataba wa miezi 18 katika klabu ya New York City FC inayoshiriki ligi kuu ya Marekani, ingawa kutakuwa na kipengele cha kuongezewa mwaka mmoja ambao utamfanya akae mpaka 2017.
Pirlo mwenye miaka 38 ataanza mazoezi Julai 21 na atacheza mechi ya  kwanza ya ligi  Julai 26 dhidi ya Orlando City katika uwanja wa Yankee Stadium 


Comments