LIVERPOOL MAMBO SAFI ...OFA YAO YA KUMSAJILI NATHANIEL CLYNE YAKUBALIWA NA SOUTHAMPTON ....anakuwa mchezaji wa sita kutua Anfield



LIVERPOOL MAMBO SAFI ...OFA YAO YA KUMSAJILI NATHANIEL CLYNE YAKUBALIWA NA SOUTHAMPTON ....anakuwa mchezaji wa sita kutua Anfield

SOUTHAMPTON imekubali ofa ya pauni milioni 12.5 ya Liverpool kwaajili ya usajili wa full beki Nathaniel Clyne ambaye atakuwa mchezaji wa sita kusajiliwa na Brenden Rodegrs kiangazi hiki.

Liverpool ilibisha hodi Southampton muda mfupi baada ya kumnasa kiungo mshambuliaji wa Kibrazil Firmino kwa ada ya pauni milioni 29 akitokea Hoffenheim ya Ujerumani



Clyne, 24, ataungana na Firmino, James Milner, Danny Ings, Adam Bogdan na Joe Gomez ambao nao wanatua  Anfield kiangazi hiki.

Liverpool to sign Nathaniel Clyne after Southampton                  accept £12.5m bid


Comments