ILI KUMPATA DI MARIA ...BARCELONA LAZIMA ILIPE PAUNI MIL. 85



ILI KUMPATA DI MARIA ...BARCELONA LAZIMA ILIPE PAUNI MIL. 85
Kama kama kweli Barcelona wanahitaji kumsajili mshambuliaji wa Manchester United, Angel Di Maria basi italazimika kulipa pauni milioni 85.5.

Nyota huyo wa kimataifa wa Argentina hana furaha Old Trafford baada ya kuanza vibaya kwa msimu wake wa kwanza Manchester United.

Imebainika kuwa wakati Real Madrid inamuuza Di Maria kwa Manchester United, iliweka kipengele kinachomzuia mchezaji huyo kurejeshwa Hispania kwa ada iliyo chini ya pauni milioni 85.5.

Kwahiyo ili Barcelona imnase mkali huyo ni lazima ivunje benki na kulipa pauni milioni 85.5.

Bayern Munich pia ilikuwa inamtaka Di Maria lakini sasa imehamishia nguvu zake kwa Douglas Costa wa Shakhtar Donetsk ambaye anawaniwa pia na Chelsea.
Barcelona will have to fork                  out over £85million if they are to sign Manchester                  United playmaker Angel di Maria
Barcelona watalazimika kulipa £85million kama kweli wanataka kumsajili mshambuliaji wa Manchester United  Angel di Maria
Di Maria struggled for form                  during his first season at Manchester United following                  his big-money move 
Di Maria amekiri hakuwa na msimu mzuri Manchester United 




Comments