Hiyo                ni kwa mujibu wa gazeti la The Daily Express ambalo limemnukuu mtendaji                wa Borussia              Dortmund Michael Zorc akisema kuna wachezaji  wataondoka              klabuni kwao siku chache zijazo.
          Ripoti zinasema inaminika Gundogan ni              miongoni mwa walengwa wa Zorc na hiyo ni baada ya United              kupeleka ofa ya pauni milioni 21 kwa miamba hiyo ya              Bundasliga. 
        
Comments
Post a Comment