HARRY KANE AITOLEA MBAVUNI MANCHESTER UNITED ...asema hana mpango wa kuondoka Tottenham



HARRY KANE AITOLEA MBAVUNI MANCHESTER UNITED ...asema hana mpango wa kuondoka Tottenham
Mshambuliaji Harry Kane ameitolea mbavuni Manchester United kwa kusema kuwa kwa sasa hana mpango wa kuondoka Tottenham.
Baada ya kuwa na msimu mzuri, Harry Kane sasa amekuwa nguzo ya kikosi cha timu ya taifa ya England chini ya miaka 21.
Umahiri wake wa kuzifumania nyavu ukaipelekea Manchester United imfanye moja ya malengo yao makubwa ya usajili wa kiangazi hiki na walikuwa tayari kuweka mezani pauni milioni 45.
Kane anasema Tottenham ni klabu kubwa na yuko na furaha kuendelea kuitumikia na kwamba suala la uhamisho kwa sasa halipo kwenye akili yake.
Harry Kane has reiterated                    his desire to remain at Tottenham next season, saying                    he is 'happy' at the club
Harry Kane amesema hana mango wa kuondoka Tottenham 
Kane (left,                    pictured on England Under 21 duty) has been linked                    with a move to Manchester United this summer
Kane (kushoto, akiwa na England Under 21) amekuwa akihusihwa na usajili wa kwenda  Manchester United 
Kane (centre)                    signed a new five-year deal towards the end of last                    season after scoring 31 goals for Tottenham
Hivi karibuni Kane (katikati) alisaini mkataba mpya wa miaka mitano kuendelea kuitumikia Tottenham







Comments