CHELSEA YAANZA KUSAKA MRITHI WA PETR CECH ...yapeleka ofa kwa Asmir Begovic wa Stoke City



CHELSEA YAANZA KUSAKA MRITHI WA PETR CECH ...yapeleka ofa kwa Asmir Begovic wa Stoke City
Chelsea imeanzisha mazungumzo na Stoke City juu kumpata kipa Asmir Begovic.
Masaa machache baada ya safari ya Petr Cech kwenda Arsenal kuthibitshwa, Chelsea imeanza kusaka mrithi wake ambapo Jose Mourinho anamuona mlinda mlango huyo wa Bosnia kama mtu sahihi.
Daily Mail la Uingereza linafichua kuwa Chelsea imepeleka ofa ya pauni milioni 6 kwaajili ya Asmir Begovic.
Hata hivyo inaaminika Stoke itakataa ofa huyo kutokana na ukweli kuwa inahitaji pauni milioni 10 ili kumwachia kipa huyo.
Premier League champions                  Chelsea have opened talks with Stoke over a swoop for                  keeper Asmir Begovic
Mabingwa wa Premier League  Chelsea wameanzisha maongezi na Stoke juu ya kipa Asmir Begovic
Jose Mourinho has identified                  Begovic as the man he wants to replace Cech in his squad                  next season
Jose Mourinho anamchukulia Begovic kama mtu sahihi wa kuziba nafasi ya  Cech aliyetimkia Arsenal




Comments