BASTIAN SCHWEINSTEIGER ANUKIA MANCHESTER UNITED ...akataa mkataba mpya Bayern, Franz Beckenbauer anapotea njia
BASTIAN SCHWEINSTEIGER anatajwa kuwa                yuko njiani kujiunga na Manchester United.
          Gazeti la kila siku la L'Equipe la Ufaransa limeripoti                kuwa kiungo huyo wa kimataifa wa Ujerumani mwenye umri wa                miaka 30, amekataa mazungumzo ya mkataba mpya Bayern                Munich ili kusafisha njia ya kwenda Old Trafford.
          United inatarajiwa kulipa pauni milioni                17.8 ili kumnyakua mchezaji huyo mshindi wa kombe la                dunia.
        
Comments
Post a Comment