BASTIAN                  SCHWEINSTEIGER ameitolea mbavuni Manchester United kwa                  kusema anafikiria kumalizia soka lake Bayern Munich.
            Boss wa United Louis                van Gaal alionyesha nia ya kumsajili kiungo huyo wa                kimataifa wa Ujerumani na alikuwa tayari kulipa pauni 10.
            Inaaminika                United ilishaanza kufanya maongezi na nyota huyo mwenye                umri wa miaka 3, lakini sasa Schweinsteiger anakuja na habari mbaya                kwa wapenzi wa Manchester United.
            Schweinsteiger                anasema angependa kubaki Bayern na kuisaidia kuendelea                kushinda mataji ikiwa ni pamoja na kuipa nguvu timu hiyo                ili iwe klabu ya kwanza Ujerumani kushinda taji la Bundesliga mara mfululizo.
          
Comments
Post a Comment