ARDA TURAN ATAKA KWENDA CHELSEA, SIO MANCHESTER UNITED



ARDA TURAN ATAKA KWENDA CHELSEA, SIO MANCHESTER UNITED
ARDA TURAN moyo wake umejiandaa kwa safari ya Chelsea na sio Manchester United kama ilivyokuwa inavumishwa.
Nyota huyo wa Kituruki ana kiu ya kuondoka Atletico Madrid kiangazi hiki na vilabu kadhaa vimekuwa vikijiandaa kufika bei ya pauni milioni 29 ambayo ndiyo kifungo chake cha kuvunja mkataba.
Hata hivyo Daily Mail limeandika kuwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 anataka kufanya kazi chini ya Jose Mourinho.
Arda Turan              would prefer a move to Chelsea over Manchester United
SAFARI YA CHELSEA: Arda Turan anataka kujiunga na Chelsea 



Comments