WIKI CHACHE BAADA YA KUFIWA NA MKEWE, RIO FERDINAND ASTAAFU SOKA



WIKI CHACHE BAADA YA KUFIWA NA MKEWE, RIO FERDINAND ASTAAFU SOKA
Mchezaji wa zamani wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Rio Ferdinand ametangaza rasmi kustaafu soka baada ya kumalizika kwa msimu huu akiwa na Queens Park Rangers.
Uamuzi wa Ferdinand kutundika daluga umekuja baada kifo cha ghafla cha mkewe kilichotokea mwanzoni mwa mwezi Mei.
Sentahafu huyo mwenye umri wa miaka 36 ametangaza uamuzi huo 'live' kupitia BT Sport na muda mfupi baadae akaandika kwenye ukurasa wake wa Twitter na kuwashukuru wote waliompa pole baada ya mkewe Rebecca aliyekuwa akisumbuliwa na kansa kufariki na kumwachia watoto watatu.
Rio Ferdinand has announced                  his retirement football following his release from                  Queens Park Rangers
Rio Ferdinand ametangaza kuachana na soka
Ferdinand captained                  Manchester United to a Champions League final win                  against Chelsea in May 2008 
Ferdinand aliiongoza Manchester United kushinda taji la  Champions League dhdi ya  Chelsea  Mei 2008 
Ferdinand's wife Rebecca                  (pictured) died after a short battle with cancer at the                  beginning of May
Ferdinand akiwa na mkewe Rebecca ambaye alifariki mwezi Mei mwaka huu kwa maradhi ya kansa
Ferdinand poses with his                  late wife Rebecca at Manchester United's end of season                  player awards in 2013
Ferdinand akipozi na mkewe Rebecca katika sherehe za kufunga msimu za wa mwaka 2013 za Manchester United
Rebecca had three children -                  Lorenz, Tate and Tia - with former England international                  Ferdinand
Rebecca amemwachia Ferdinand watoto watatu - Lorenz, Tate na Tia 
The former Red Devils ace,                  pictured in May 2003, won six Premier League titles                  during his time at Old Trafford
Rio Ferdinand akiwa na Manchester United Mei 2003, ameshinda mataji sita ya Premier League katika muda wake aliokaaa  Old Trafford
Ferdinand poses with then                  Manchester United manager Sir Alex Ferguson upon signing                  for the club in 2002
Ferdinand akipozi na kocha wa enzi hizo wa  Manchester United Sir Alex Ferguson wakati akisajiliwa mwaka 2002




Comments