Akiongelea mchezo wake wa            kwanza wa ufunguzi dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland            utakaochezwa siku ya jumatatu, amesema anawajua Swaziland ni            timu nzuri, mara ya mwisho katika mchezo wa kirafiki walitoka            nao sare, hivyo anawaandaa vijana wake kupata ushindi katika            mchezo huo.
        Kikosi cha Swaziland kina            wachezaji mchanganyiko wakiwemo wanaocheza ligi yao ya            nyumbani na baadhi wanaocheza soka la kulipwa nchini Afrika            Kusini.
                        Taifa Stars itacheza mchezo wa kwanza dhidi ya            Swaziland katika Uwanja wa Olympia Park siku ya jumatatu saa            1.30 usiku kwa saa za huku, sawa na saa 2.30 usiku kwa saa za            Afrika Mashariki.
                


Comments
Post a Comment