SADIO MANE RAIA WA SENEGAL ANAYEWEKA HISTORIA MPYA PREMIER LEAGUE HUKU SOUTHMPTON IKIINYANYASA ASTON VILLA 6-0



SADIO MANE RAIA WA SENEGAL ANAYEWEKA HISTORIA MPYA PREMIER LEAGUE HUKU SOUTHMPTON IKIINYANYASA ASTON VILLA 6-0
Graziano Pelle (right) goes            straight for Mane to celebrate after the hat-trick hero's            cross finds the Italian for the Saints' sixth goal
Sadio Mane ameweka historia mpya kwenye Premier League  baada ya kufunga mabao matatu (hat-trick ) ya haraka zaidi kuliko wakati wowote ule katika ligi hiyo.
Hiyo ilikuwa ni katika mechi ya maangamizi kwa Aston Villa iliyopokea kipigo cha 6-1 kutoka kwa Southampton.
Magoli matatu ndani ya dakika mbili na sekunde 56 kutoka kwa winga huyo raia wa Senegal, lilikuwa ni jambo la kuduwaza.
Matokeo hayo yanaiweka Southampton kwenye nafasi nzuri ya kucheza Europa League msimu ujao huku Aston Villa ikisogea kwenye ukanda wa janga la kushuka daraja.
Sadio Mane alifunga magoli hayo katika dakika ya 13, 14 na 6 huku magoli mengine ya Southampton yakifungwa na Shane Long aliyefunga mara mbili pamoja Graziano Pelle wakati bao pekee la Aston Villa lilifungwa na Christian Benteke.
Southampton's Sadio Mane celebrates the first of the                first-half treble on his way to the fastest ever Premier                League hat-trick
Sadio Mane akishangilia rekodi mpya aliyoweka Premier League 
Southampton players crowd                  around Mane after the Senegalese winger found the net                  for the third time in two minutes and 56 seconds
Wachezaji wa Southampton wakimpongeza Mane 
Alan Hutton is helpless as                  Mane slots in his first of the day with a simple                  left-footed finish after a defensive shambles from                  Villa
Alan Hutton akishindwa kumzuia Mane asifunge bao la kwanza
Mane makes it 2-0 little                  more than a minute after his first with his other foot,                  again into an unattended net 
Mane akitupia la pili
Mane's third was a gem of a                  finish, first time with the side of his right boot and                  into the roof of the net
Bao la tatu la Mane





Comments