MISULI YA CRISTIANO RONALDO KUIBEBA REAL MADRID MBELE YA JUVENTUS?



MISULI YA CRISTIANO RONALDO KUIBEBA REAL MADRID MBELE YA JUVENTUS?

Real Madrid imejitosa kwenye mazoezi kabambe kujiandaa na mechi ya marudiano ya nusu faina ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Juventus huku misuli ya Cristiano ikiwa kivutio kikubwa.
Real Madrid inawakaribisha Juventus kwenye dimba la Santiago Bernabeu huku wakiwa na deni la bao 1-0 walilotunguliwa kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa wiki iliyopita.
Mbali na kusaka tiketi ya kwenda fainali, Ronaldo pia atakuwa kwenye ligi nyingine ya ushindani wa kufunga magoli mengi katika Champions League kati yake na Lionel Messi wa Barcelona ambaye anaongoza kwa tofauti ya goli moja.
Ronaldo alionekana mazoezi huku akiwa kwenye hali ya ukakamavu iliyoonyesha misuli yake iliyojengeka vilivyo.

Ronaldo prepares to perform                  a trick as his team-mates watch on during a game of                  keep-ball at the Valdebebas Stadium on Tuesday morning
Ronaldo akiwa mazoezini na wachezaji wenzake kwenye uwanja wa Valdebebas Jumanne asubuhi
Real Madrid's Dani Carvajal,                  Lucas Silva, Fabio Coentrao and Ronaldo (left to right)                  train ahead of their second leg against Juventus
 Dani Carvajal, Lucas Silva, Fabio Coentrao na Ronaldo (kushot kwenda kulia) wakiwa mazoezini kujiandaa na Juventus



Comments