MANCHESTER UNITED YAJIANDAA KUWEKA MEZANI PAUNI MIL 21 KUMSAJILI CARLOS BACCA WA SEVILLA



MANCHESTER UNITED YAJIANDAA KUWEKA MEZANI PAUNI MIL 21 KUMSAJILI CARLOS BACCA WA SEVILLA
Manchester United iko tayari kuanza mazungumzo na klabu ya Sevilla kuhusu uhamisho wa mshambuliaji Carlos Bacca utakaogharimu pauni milioni 21.3.
Mshambuliaji huyo raia wa Colombia alipiga mabao mawili katika fainali ya Europa League kuiwezesha Sevilla kutwaa taji.
Kwa mujibu wa mtandao wa Fichajes.net, Roma na AC Milan pia zinautamani mtambo huo wa mabao, lakini United ndiyo inayopewa nafasi kubwa ya kukamilisha dili.
Carlos Bacca produced a                  stunning individual performance as Sevilla won the                  Europa League on Wednesday
Carlos Bacca alliwezesha Sevilla kushinda Europa League Jumatano iliyopita
Bacca akibusu kombe Europa League baada ya Sevilla kuifunga Dnipro 3-2 katika fainali iliyochezwa Warsaw
Bacca scored twice for                  Sevilla against Dnipro, rounding the goalkeeper to put                  them 2-1 ahead in the first half
Bacca alifunga mara mbili dhidi ya Dnipro
Bacca scored the winning                  goal for Sevilla in the second half with a strong                  left-footed strike inside the area
Bacca akiifungia Sevilla bao la ushindi kwenye fainali ya Europa Legue
The Sevilla forward has come                  a long way since working as bus conductor to pay rent in                  Puerto Colombia
Bacca akifanya vitu vyake
The 28-year-old has enjoyed                  a stunning season in comparison to his Colombia                  team-mate Radamel Falcao
Bacca huenda akaenda kurithi mikoba ya Mcolombia mwenzake Radamel Falcao ndani ya Old Traffod



Comments