MANCHESTER UNITED YAAMBIWA KIPA JASPER CILLESSEN WA AJAX HAUZWI …Marc Overmars apiga mkwara mzito




MANCHESTER UNITED YAAMBIWA KIPA JASPER CILLESSEN WA AJAX HAUZWI …Marc Overmars apiga mkwara mzito
Manchester United imeambiwa isahau kabisa kuhusu kipa wa Ajax Jasper Cillessen kwani haitampata kwa bei yoyote.
United bado haijapokea ofa kutoka kwa Real Madrid kuhusu  David de Gea lakini kipa wa kimataifa wa Holldan Cillessen amekuwa akijadiliwa sana wiki hii Old Trafford.
Hata hivyo mkurugenzi wa michezo wa Ajax Marc Overmars  ambaye ni mchezaji wa zamani wa Arsenal, amesema Cillessen  hauzwi sio kwa pauni milioni 18 tu zinazotajwa kuandaliwa na United, bali hauzwi hata kwa pauni milioni 25.

Manchester United have been                  warned off their pursuit of Ajax goalkeeper Jasper                  Cillessen
Manchester United imeambiwa isahau kuhusu kipa huyu Jasper Cillessen wa Ajax 
Cillessen is well known to                  Louis van Gaal after they spent the World Cup together                  with Holland
Cillessen anafahamika vizuri kwa Louis van Gaal tangu alipokuwa nae kwenye  World Cup na kikosi cha  Holland
'


Comments