MANCHESTER UNITED WATAJUTA KUMWACHA PAUL POBGA



MANCHESTER UNITED WATAJUTA KUMWACHA PAUL POBGA
Kwa mashabiki wa Manchester United waliokuwa wakifuatilia mechi ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa kati ya Real Madirid na Juventus kwenye uwanja wa Santiago Bernabeu Jumatano usiku, watakuwa wamefahamu ni kitu gani wanakikosa kwa kiungo Paul Pogba.
United walimuona kiungo huyo bado hana nafasi katika kikosi cha kwanza na matokeo yake akaondoka bure mwaka 2012 na sasa anatinga fainali ya Ligi ya Mabingwa akiwa na Juventus.
Pobga aliambiwa awe mpole Old Trafford: "Muda wako utawadia" hiyo ilikuwa ni meseji kutoka kwa kwa makocha wa United wakimtaka asiondoke lakini haikusaidia.
Juventus hawakuwa kwenye kiwango chao bora katika mchezo huu ulioisha kwa sare ya 1-1, lakini Pobga aliyekuwa anarejea kutoka kwenye maumivu yaliyomweka nje kwa miezi miwili, aling'ara vilivyo.
Paul Pogba (right)                  celebrates with team-mate Claudio Marchisio after                  Juventus reached the final
Paul Pogba (kulia) akishangila na Claudio Marchisio 
Juventus midfielder Pogba                  (right) is tackled by Real Madrid's Daniel Carvajal on                  Wednesday
Pogba akidhibitiwa na Daniel Carvajal 
Pogba's effort on goal is                  saved by Real Madrid goalkeeper Iker Casillas
Pogba akimjaribu kipa wa Real Madrid Iker Casillas



Comments