MANCHESTER UNITED U21 YAICHAKAZA MANCHESTER CITY U21 BAO 4-0 …Adnan Januzaj na James Wilson watakata
Adnan Januzaj ameng'ara na kuiongoza Manchester United kuaingamiza Manchester City 4-0 katika mchezo mkali wa vijana chini ya miaka 21.
Kwa ushindi huo, United sasa imebakiza pointi moja tu kunyakua ubingwa wa England wa vijana chini ya umri wa miaka 21 na hivyo kuwafuta machozi kaka zao ambao wanamaliza msimu mikono mitupu.
Magoli ya Manchester United yalifungwa na James Wilson ambaye nae aling'ara sana, Adnan Januzaj, Ashley Fletcher na Ashley Fletcher.
MANCHESTER UNITED: J Pereira; Love, Thorpe, Blackett, Kellett; Weir, James, Grimshaw, Rothwell (Willock 76), Januzaj (Fletcher 73); Wilson (El Fitouri 88).
Manager: Warren Joyce
MANCHESTER CITY: Gunn, Smith-Brown (Byrne 61), Maffeo, Evans, Tasene, Bryan, Nemane, Fofana (Glendon 78), Hiwula, Garcia, Barker (Pozo 55).
Manager: Patrick Vieira.
James Wilson akifunga baada ya kupokea pasi maridadi kutoka kwa Adnan Januzaj
Wilson akiangalia namna alivyomuuza kipa Manchester City Angus Gunn
Wilson akishangilia bao lake Old Trafford
Wilson akimpa shukran Januzaj kwa pasi murua

Kocha wa City Vieira (kushoto) akiduwaa kwa kipigo
Kocha wa City Vieira (kushoto) akiduwaa kwa kipigo
Comments
Post a Comment