MANCHESTER UNITED KUMCHUKUA KIUNGO BASTIAN SCHWEINSTEIGER WA BAYERN MUNICH


MANCHESTER UNITED KUMCHUKUA KIUNGO BASTIAN SCHWEINSTEIGER WA BAYERN MUNICH
Manchester United inaangalia uwezekano wa kumsajili kiongozi mzoefu wa Bayern Munich, Bastian Schweinsteiger.
Imebainika kuwa kocha wa United Louis van Gaal  anaamini mchezaji huyo wa kimataifa ataongeza uzoefu kwenye kikosi chake katika safu ya kiungo.
Inadaiwa kuwa tayari mazungumzo yameshaanza kati ya pande hizo mbili tangu mwezi uliopita na inaamika Schweinsteiger yupo tayari kusaka changamoto mpya.
Germany star Bastian                  Schweinsteiger (centre) is a summer transfer target for                  Manchester United
Staa wa Ujerumani Bastian Schweinsteiger (katikati) anawaniwa na Manchester United
Louis van Gaal believes                    the 30-year-old would add much needed experience and                    quality to his midfield
Louis van Gaal anaamini  nyota huyo mwenye umri wa miaka  30 ataongeza uzoefu kwenye safu ya kiungo
The Manchester United boss                    worked with Schweinsteiger during his time as Bayern                    Munich boss
Boss wa Manchester United alifanya kazi na Schweinsteiger wakati alipokuwa akiifundisha Bayern Munich 




Comments